TRENDING POSTS

MISS WORLD 2018: VANESSA PONCE DE LEON

MFAHAMU MREMBO WA DUNIA MWAKA 2018

Shindano la kutafuta mrembo wa dunia wa mwaka 2018, linalojulikana kwa kimombo kama "MISS WORLD 2018" limefanyika leo Nchini China katika mji wa Sanya. ikiwa ni mara ya 68 tangu kuanzishwa kwa shindano ilo mwaka  1951,leo dunia nzima imeshuhudia Manush Chhillar wa India ambaye alikuwa ni "MISS WORLD" aliyepita akimkabidhi taji la urembo wa dunia  Vanessa Ponce De leon (juu pichani) kutoka mexico, Sasa dunia imepata Mrembo mpya.  

No comments